Msanii wa Bongo Flava maarufu kama Whozu, ametangaza rasmi kuwa sasa hayupo kwenye kundi na Recording Label ya TOO MUCH MONEY, ambayo inasemekana inamilikiwa na Wafanyabiashara Fred Vunjabei pamoja na Frank Knows. Whozu ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram muda mfupi ulipota.
Tip of the Day - Music
At the 2025 Trace Awards & Summit in Zanzibar, Tanzania, Nandy won Best Artist Tanzania, Diamond Platnumz won Best Global African Artist, and Zuchu also received recognition.

Barua ya Whozu Instagram