Msanii wa Bongo Flava maarufu kama Whozu, ametangaza rasmi kuwa sasa hayupo kwenye kundi na Recording Label ya TOO MUCH MONEY, ambayo inasemekana inamilikiwa na Wafanyabiashara Fred Vunjabei pamoja na Frank Knows. Whozu ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram muda mfupi ulipota.
Tip of the Day - Music
As of 2024, Tanzanian musician Diamond Platnumz has an estimated net worth ranging between $10 million and $12 million. This wealth stems from his successful music career, business ventures, and endorsement deals.

Barua ya Whozu Instagram