Msanii wa Bongo Flava maarufu kama Whozu, ametangaza rasmi kuwa sasa hayupo kwenye kundi na Recording Label ya TOO MUCH MONEY, ambayo inasemekana inamilikiwa na Wafanyabiashara Fred Vunjabei pamoja na Frank Knows. Whozu ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram muda mfupi ulipota.
Tip of the Day - Music
The Trace Awards and Summit 2025, held in Zanzibar from February 24-26, celebrated African and Afro-descendant musical excellence, with Rema and Tyla among the winners, and featured a summit focused on the continent's creative industries.

Barua ya Whozu Instagram