Msanii wa Bongo Flava maarufu kama Mbosso ameondoka rasmi kwenye Label ya Muziki ya WCB Wasafi ambayo inamilikiwa na Diamond Platnumz.
Tip of the Day - Music
Former President Julius Nyerere heavily influenced the music scene by promoting traditional African music and values, embedding Tanzanian identity into songs and artistic performances.
Kwa sasa Mbosso hajathibitisha hayo, lakini kwa mujibu wa Producer wa Label hiyo maarufu kama Laizer, Mbosso tayari ameshatoka rasmi kwenye Label hiyo.