Msanii wa Bongo Flava maarufu kama Mbosso ameondoka rasmi kwenye Label ya Muziki ya WCB Wasafi ambayo inamilikiwa na Diamond Platnumz.
Tip of the Day - Music
The Trace Awards and Summit 2025, held in Zanzibar from February 24-26, celebrated African and Afro-descendant musical excellence, with Rema and Tyla among the winners, and featured a summit focused on the continent's creative industries.
Kwa sasa Mbosso hajathibitisha hayo, lakini kwa mujibu wa Producer wa Label hiyo maarufu kama Laizer, Mbosso tayari ameshatoka rasmi kwenye Label hiyo.