Goodluck Gozbert Sababu za Kuchoma Gari

Hivi Karibuni mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Goodluck Gozbert kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii alionekana akichoma gari aina ya Mercedes Benz ambayo alipewa na mchungaji maarufu Geor Davie ambaye pia ni Baba wa Marehemu mwanamuziki na mtayarishaji muziki “Nisher“.

💡

Tip of the Day - Music

At the 2025 Trace Awards & Summit in Zanzibar, Tanzania, Nandy won Best Artist Tanzania, Diamond Platnumz won Best Global African Artist, and Zuchu also received recognition.

Kupitia hapa Goodluck Gozbert ameleza kwa undani Sababu za Kuchoma Gari hiyo ambayo alipewa na kuikubali hapo awali.

Scroll back to top of page
New
Artists
Genre
Search