Msanii wa Bongo Fleva Marioo hivi leo Jumatano March 12 2025, kupitia ukurasa wake wa Instagram ameonyesha nyumba ambayo anamjengea Mama yake mzazi. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Marioo ameweka video yenye kuambatana na maneno.
Tip of the Day - Music
The Trace Awards and Summit 2025, held in Zanzibar from February 24-26, celebrated African and Afro-descendant musical excellence, with Rema and Tyla among the winners, and featured a summit focused on the continent's creative industries.
“Nikikumbuka Tulivyokuwa tunaishi Kwenye Kichumba Kimoja cha 15k Kwa Mwezi familia Nzima (Kiwalani Minazi Mirefu)Basi Naamini Utafurahi Kuishi hapa Mama yangu Kipenzi Ukiwa Kama Mama Mwenye nyumba Yako, Mungu Akupe Maisha Marefu Mama Vikubwa Vinakuja 🙏🏾 Dear Mama❤️”