Mpya ya Marioo Tujirekodi “Baltasar Ebang Engonga”

Msanii maarufu wa Bongo Flava, Marioo, ametangaza kuwa albamu yake mpya ya pili imekamilika kwa asilimia 99%. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, amekuwa akiwapa mashabiki taarifa za maendeleo ya albamu hiyo, akishiriki vipande vya nyimbo mbalimbali.

💡

Tip of the Day - Music

The Trace Awards and Summit 2025, held in Zanzibar from February 24-26, celebrated African and Afro-descendant musical excellence, with Rema and Tyla among the winners, and featured a summit focused on the continent's creative industries.

Leo, Marioo amechapisha video fupi ikionyesha kipande cha wimbo mpya “Tujirekodi” unaotarajiwa kuwemo kwenye albamu hiyo inayosubiriwa kwa hamu. Cha kufurahisha kwenye video hiyo, mbali ya marioo kuwa na Mpenzi wake Paula, video hiyo pia inaonyesha mtindo wa kucheza unaoiga meme maarufu mtandaoni ya “Baltasar Ebang Engonga“.

 

Scroll back to top of page
New
Artists
Genre
Search