Papa Francis Alaani Unyanyasaji wa Wanawake Majumbani
Kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis, amesema kuwa wanaume wanaotekeleza dhulma za majumbani dhidi ya wanawake wanajihusisha na matendo ya kishetani. Papa Francis alitoa kauli hiyo katika kipindi kimoja cha runinga nchini Italia ambapo alizungumza na wanawake watatu na mwanamme mmoja kutoka mazingira tofauti. “Idadi ya wanawake wanaopigwa na kudhulumiwa majumbani kwao hasa na […]