BOAZ Danken Ameachia Wimbo Mpya “UONGEZEKE YESU”
Top Stories
Kutoka Tanzania, Mwimbaji wa nyimbo za Injili Boaz Danken amechia wimbo wake mpya unaoitwa UONGEZEKE YESU ikiwa ni moja kati nyimbo nzuri sana za kuabudu alizowahi kuachia kwa mwaka 2021.
Wimbo huu kwasasa unapatikana kwenye mtandao wa muziki wa Boomplay, karibu kusikiliza, Ubarikiwe!
Listen:
Connect:
WhatsApp: +255 753 173 325
Facebook: Boaz Danken
Instagram: @boazdanken
Youtube: BOAZ DANKEN
Related Topics:Top Stories
Click to comment