Askofu Shoo aonya viongozi wa dini wanaopinga chanjo ya Corona
Habari
Mwenyekiti Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Dkt.Fredrick Shoo amehimiza wananchi kuendelea kujikinga na wimbi la tatu la Corona na kusisitiza kuendelea na maombi ya kufunga na kutubu, ili kujinusuru na janga hilo huku akiwaonya viongozi wa dini kuacha kuhusisha suala la chanjo ya Covid 19 na mpango wa shetani na kudai huko ni kumjaribu Mungu.
Chanzo: ITV
Related Topics:Habari
Click to comment